News
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake za kustawisha ustawi wa kidemokrasia ...
Wakuu wa polisi kutoka nchi sita za Afrika Mashariki na Kati wameahidi kushirikiana kukabiliana na uhalifu wa mtandaoni ambao unaonekana kushika kasi katika ukanda huu.
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Jumuiya ya Mamlaka za Usimamizi wa Usafiri Majini Barani Afrika zimetakiwa kushirikiana na kuungana ili kuboresha usalama wa usafiri majini na kuchochea maendeleo ...
*Wananchi wakata tamaa, wasema ni sawa na ngamia kupenya katika tundu la sindano Na Ashura Kazinja, Morogoro WANANCHI zaidi ya 11,000 wa vitongoji vitatu vya Mbuyuni, Rudewa Batini na Gongoni katika ...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeielekeza Serikali kuendelea na mchakato wa uwekezaji wa bandari huku ikisikiliza maoni yenye dhamira njema na kuyachukua ili yaongeze tija. Kimesema kinachofanywa na ...
NAIBU Waziri wa Fedha,Hamad Hassan Chande amewataka wafanyakazi wa Ofisi za Taifa za Takwimu (NBS) kufanya kazi kwa maarifa, weledi na bidii kubwa huku akiwataka kujiendeleza kielimu. Kauli hiyo ...
Na Ramadhan Hassan, Dodoma Umoja wa Wanawake Viongozi Serikalini umetoa mashuka 400 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, vituo vya afya vya Makole na vya wilaya ya Kongwa na Chamwino na kile ...
Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, akizungumza katika zoezi la kuhitimisha ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria katika usimamizi wa utumishi wa umma leo ...
Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umewasilisha maboresho ambayo yamefanyika katika kanuni mbili za usalama na afya mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo.
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Waziri wa Madini, Dk. Doto Biteko amekutana na wadau na taasisi mbalimbali wa madini kutoa na kupokea maoni ya marekebisho ya sheria na baadhi ya kanuni zake ili ...
Mtanzania Waziri Mhagama ahimiza ushirikiano - FeaturedWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama akizungumza na Wakurugenzi wa Idara na Vitengo katika Ofisi yake ...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekamilisha maandalizi muhimu kwa ajili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ikiwa ni pamoja na ununuzi wa vifaa vya uandikishaji vinavyojumuisha ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results