News
Wananchi Jijini Arusha wamevutiwa na bidhaa mbalimbali za Nishati Safi ya Kupikia na wameipongeza Serikali kwa kuona umuhimu wa kufikisha bidhaa hizo katika Maonesho yanayoendelea mkoani humo kuelekea ...
KATIBU Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Dk. Kedmon Mapana, amewataka waandaaji wa matamasha nchini kutoishia tu kuimba na kusifu, bali pia kuangalia namna ya kusaidia wahitaji katika ...
Asasi za Kiraia (AZAKi) zimewasilisha maoni ya ziada ya kuhakiki rasimu ya Dira Ya Taifa ya Maendeleo 2050 chini ya uratibu wa Foundation for Civil Society (FCS) kwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya ...
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Jumuiya ya Mamlaka za Usimamizi wa Usafiri Majini Barani Afrika zimetakiwa kushirikiana na kuungana ili kuboresha usalama wa usafiri majini na kuchochea maendeleo ...
Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, akizungumza katika zoezi la kuhitimisha ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria katika usimamizi wa utumishi wa umma leo ...
Wakuu wa polisi kutoka nchi sita za Afrika Mashariki na Kati wameahidi kushirikiana kukabiliana na uhalifu wa mtandaoni ambao unaonekana kushika kasi katika ukanda huu.
Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Ardhini kutoka LATRA kwa kushirikiana na Shirika la Asasi za Kiraia nchini (FCS), wamesaini mkataba wa makubaliano ya miaka mitatu ya programu ...
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana kutumia fursa ya uwekezaji unaofanya na Serikali katika sekta ya TEHAMA ili kukuza uchumi binafsi na Taifa kwa ujumla.
Wachezaji wa timu ya Simba, viongozi na benchi la ufundi wamekutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Septemba 25,2024 baada ya kuwasili visiwani ...
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhudhuria mkutano wa tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ...
Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umewasilisha maboresho ambayo yamefanyika katika kanuni mbili za usalama na afya mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo.
Changamoto za uhaba wa mashine za kuchakata Mkonge (korona) zinazowakabili wakulima katika maeneo yao zinatarajiwa kuwa historia na kuchochea ongezeko la uzalishaji wa zao hilo. Hatua hiyo inafuatia ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results